CSO Week 2025

During #csoweek2025 TACOSODE Executive Director Ms. Koga Mihama joined a powerful panel discussion on “Conditions for Civil Society’s Optimal Contribution to National Development.” She highlighted the key role of umbrella organizations in mobilizing and strengthening District CSO networks, and emphasized the need for a unified voice to address community challenges. “We must know who we […]
Kongamano la Wanawake – Uwezeshaji Kiuchumi

TACOSODE iliwakilishwa vyema katika kongamano kubwa la wanawake lililo andaliwa na ofisi ya TGNP. Kongamano hili lililohusisha mashirika yasiyo ya kiserikali, ikionyesha kujitolea kwetu katika kuwawezesha watu wenye mahitaji maalumu na kusaidia fursa za kiuchumi kuelekea miaka 30 ya Azimio la Beijing.
CSO Week 2024

TACOSODE Executive Director Ms. Koga Mihama alipata fursa ya kuhudhuria wiki ya Azaki inayoandaliwa kila mwaka nchini na taasisi ya Foundation for Civil Society (FCS) jijini Arusha. TACOSODE ilipata nafasi nzuri ya kuhudhuria vipindi mbalimbali katika wiki hii lakini pia kutembelea jamii ya Wamasai wanao nufaika na miradi ya FCS. Katika wiki hii ya Azaki […]
Co-Creation Workshop

Tanzania Council for Social Development was privileged to be among other few selected NGOs to attend a Co Creation Workshop organized by the Foundation for Civil Society (FCS) at Protea Courtyard Hotel in Dar es Salaam. The Executive Director Ms. Koga Mihama and Mr Sam Pul (Accountant) attended the workshop.
TACOSODE Annual General Meeting

TACOSODE held annual general meeting in Dodoma May 2024, where members from different parts of the country were present. In this AGM meeting TACOSODE members were able to review the Council’s constitution and discessed way forward of the organization and it’s members as development partners. During the meeting member organizations elected a new Board chairperson […]
